Sunday, 5 April 2015

IBADA YA PASAKA NDANI YA KANISA LA FPCT TEGETA


IBADA YA PASAKA INAENDELEA KATIKA Kanisa La FPCT Tegeta NA MTUMISHI WA MUNGU KUTOKA KIGOMA MCHUNGAJI NA MWALIMU WA CHUO CHA BIBLIA BIGABILO Mch.SAMWELI KAHASA NDIO MGENI MAALUM WA PASAKA HAKIKA NI BARAKA SANA.......Kumbuka kuwa pasaka ni ukombozi kwetu sisi wanadamu lakini pia ni upatanisho kati yetu sisi na MUNGU
 Mchungaji Samweli Kahasa kutoka kigoma akifundisha  Neno la Mungu kwenye ibada ya pasaka                                                                          FPCT TEGETA
      Kutoka kushoto ni mch Joram Jeremiah wa fpct tegeta akimkaribisha mch. Samweli Kahasa



                                Mzee kiongozi wa kanisa la fpct tegeta Mzee Festo Labani




                                                 moja ya mifano wakati neno likiendelea



Tuesday, 31 March 2015

ASKOFU GWAJIMA AACHIWA KWA DHAMANA

Askofu Josephat Gwajima wa ufufuo na uzima
Hatimae sakata la Askofu  mkuu Wa kanisa la  ufufuo na uzima la jijin dar es salaam Josephat Gwajima, linaendelea kutoa picha flan machoni pa wa Tanzania na wana dunia kwa ujmla baada ya kuachiliwa nje kwa  dhamana yeye na wachungaji wake 15 waliokua wakishikiliwa na Jeshi la Polisi kwa makosa tofauti tofauti likiwemo la kutoa maneno makali kwa Askofu mkuu wa Kanisa Ktoliki Tanzania Ask Pengo na lile la baadhi ya wachungaji  kudaiwa kutaka kumtorosha askofu Gwajima wakati alipokua amelazwa katika hosptali ya TMJ ya Dar es salaam.  Chanzo cha habari kutoka katika kanisa hilo kimeeleza,. 

JUBILEE YA MIAKA 80 KANISA LA FPCT BIGABIRO


Monday, 30 March 2015

IDARA YA UMOJA WA AKINA MAMA FPCT TEGETA WAFANYA SHANGWE NA BONGE LA SAPLAIZ (SUPRISE)

Neno la Mungu linasema ajitengea na wenzake hutaka matakwa yake mwenywe. Lakini kwa upande huohuo ni heri kuwa na uoja kuliko kujitenga. Hayo ni maneno yaliyo semwa na mwenyeki wa idara ya akina mama wa Kanisa la FPCT TEGETA MACHINJIONI Mrs Revina Majoro, jumapili ya jana wakati walipokua na hafra fupi ya kutianamoyo na kupongezana baada ya kuombeana kwa muda wa zaidi ya wiki tatu ndani ya idara hiyo.

Nduguzangu waumini na akina mama kwa ujumla ni kwa muda wa takribani wiki tatu tumekua na zoezi la kuombeana kila mwana idara akimuombea mwenzake, tuliandika majina ya wana idara nakisha tukayaweka kwenye kikapu kila mtu akawa anakuja kuchagua karatsi lenye jina,kila aliye chukua jina hilo basi alienda kuliombea/kumwomea mwenzake ili Mungu aweze kumjibumahitajiyake, kama Ndoa,afya,masomo,familia nk,tumemwona Mungu akijbu sana maombi yetu hata kabla ya kuhitimisha wiki hizi za maombi,na sasa leo ndiyo hitimisho la maombi yetu na Sasa kila mmojawetu ameandaa zawadi ya kumpongeza mwenzake. Alisema Mrs Majoro akifafanua zaidi.

 Angalia  na Tazama Picha  namna jinsi Hafra fupi ilivyo kua siku ya janaa.













 

Wednesday, 11 March 2015

HUIMA..HUDUMA YA INJILI MASHULENI YAZIDI KUSHIKA KASI JIJINI DSM

Kanisa la fpct tegeta jijini Dar es salaam limekuwa na mikakati mbalimbali ili kuhakikisha kazi ya Mungu inasonga mbele lakini moja ya mikakati ni kuhakikisha injili inasambaa mashuleni na hili limeanza kufanikiwa baada ya kuanza kwenye baadhi ya shule za sekondari hapa jijini na jambo hili limekuwa likisimamiwa na mwinjilisti Jackob Lucas ambaye amekuwa akitoa huduma huku nguvu za Mungu zikionekana hasa baada ya wanafunzi wengi kufunguliwa kutoka kwenye nguvu za giza.

 ENDELEA KUTAZAMA PICHA WIKI HII ILIKUWA ZAMU YA Shule ya Sekondari Kisauke


                 wanafunzi wa shule ya sekondari kisauke jijini Dsm wakimuabudu Mungu



                                           EV.Jackob Lucas akifanya maombezi








                                  EV.Jackob Lucas Akifundisha neno la Mungu